Recent content by Dr. Said

  1. Dr. Said

    JamiiForums Tanzania Nimefanikiwa kupata mil 15 naomba ushauri maana hii ndo risasi yangu ya mwisho katika bunduki

    Ukubwa au udogo wa risk inaendana na taaluma pamoja na ujuzi wa kufanya biashara husika. Kama hauna taaluma ya biashara hata kidogo tafuta mentor mwenye historia ya kufanya biashara iliyofanikiwa. Taaluma yako ya biashara ni muhimu kuliko biashara yoyote. Anza hapo kwanza.
  2. Dr. Said

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Kazi, Mtu wa Mauzo (Full-Time)

    Kweli kabisa
  3. Dr. Said

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Kazi, Mtu wa Mauzo (Full-Time)

    Yes brother
  4. Dr. Said

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Kazi, Mtu wa Mauzo (Full-Time)

    "😂 Bro, kama unadhani commission ni utapeli, ni wazi mshahara wako umekaa kama 'subscription' ya shida. Huku hatupepesi mdomo – tunapeleka pesa benki. Wenye mindset ya ‘kazi za kipumbavu’ ndio huachwa na change ya mafanikio. 😏"
  5. Dr. Said

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Kazi, Mtu wa Mauzo (Full-Time)

    😂 Si kila mtu ana stamina ya kushughulika na hela kubwa – wengine wamezoea maisha ya 'salio halitoshi.' Hii fursa ni kwa wale wenye malengo makubwa, sio wanaolalamika kwenye comments wakisubiri kazi ije kama sadaka. 😏
  6. Dr. Said

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Kazi, Mtu wa Mauzo (Full-Time)

    Hakuna mshahara. Ni 100% commission. Kama huuzi hupati chochote na utafukuzwa kazi. Ila ukiuza hakuna kikomo cha pesa unayoweza kuingiza.
  7. Dr. Said

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Kazi, Mtu wa Mauzo (Full-Time)

    Comment ya mtu usiyemfahamu JF kakuzuia kufanya kitu unachotaka kufanya?
  8. Dr. Said

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Kazi, Mtu wa Mauzo (Full-Time)

    Maisha mazuri mbona
  9. Dr. Said

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Kazi, Mtu wa Mauzo (Full-Time)

    Za kipumbavu kwa watu wasio na thamani. Kama kazi yako kuuza na huwezi kuuza hela za kulipwa zitoke wapi?
  10. Dr. Said

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Kazi, Mtu wa Mauzo (Full-Time)

    Tathmini hiyo umeitoa wapi?
  11. Dr. Said

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Kazi, Mtu wa Mauzo (Full-Time)

    Mbwa
  12. Dr. Said

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Kazi, Mtu wa Mauzo (Full-Time)

  13. Dr. Said

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Kazi, Mtu wa Mauzo (Full-Time)

    Sio kweli
  14. Dr. Said

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Kazi, Mtu wa Mauzo (Full-Time)

    Mahali: Kazi ya Mtandaoni (Remote) Kampuni: Online Profits Nafasi: Wakala wa Mauzo KUHUSU ONLINE PROFITS Online Profits ni kampuni ya e-learning inayolenga kusaidia wajasiriamali wanaotaka kuzindua na kukuza biashara zao mtandaoni. Programu yetu kuu inaitwa Online Profits University na inatoa...
  15. Dr. Said

    JamiiForums Tanzania Msaada jinsi ya kutangaza biashara kwenye mitandao ya kijamii

    Unafanya biashara gani na unataka kutangaza nini?
Back
Top Bottom