Ukubwa au udogo wa risk inaendana na taaluma pamoja na ujuzi wa kufanya biashara husika.
Kama hauna taaluma ya biashara hata kidogo tafuta mentor mwenye historia ya kufanya biashara iliyofanikiwa.
Taaluma yako ya biashara ni muhimu kuliko biashara yoyote. Anza hapo kwanza.
"😂 Bro, kama unadhani commission ni utapeli, ni wazi mshahara wako umekaa kama 'subscription' ya shida.
Huku hatupepesi mdomo – tunapeleka pesa benki. Wenye mindset ya ‘kazi za kipumbavu’ ndio huachwa na change ya mafanikio. 😏"
😂 Si kila mtu ana stamina ya kushughulika na hela kubwa – wengine wamezoea maisha ya 'salio halitoshi.'
Hii fursa ni kwa wale wenye malengo makubwa, sio wanaolalamika kwenye comments wakisubiri kazi ije kama sadaka. 😏
Mahali: Kazi ya Mtandaoni (Remote)
Kampuni: Online Profits
Nafasi: Wakala wa Mauzo
KUHUSU ONLINE PROFITS
Online Profits ni kampuni ya e-learning inayolenga kusaidia wajasiriamali wanaotaka kuzindua na kukuza biashara zao mtandaoni. Programu yetu kuu inaitwa Online Profits University na inatoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.