Recent content by DR nijilekukasi

  1. DR nijilekukasi

    Faida za kuoa mke zaidi ya mmoja katika jamii yetu kwa wanaume na wanawake

    Hayo uliyoyataja yanatokea hata ukioa mke mmoja hamna nyumba ikakosa ugomvi kikubwa ili jambo linalenga hasa kuondosha machafu ya uzinifu kwenye jamii lakini ukioa kwa nia ya kutaka sifa huenda ukapata shida hata huyo mmoja atakushinda ndugu
  2. DR nijilekukasi

    Suala la kuomba unyumba na kunyimwa linaumiza sana

    Ongeza mke kaka ataheshimu zamu yako ,wanawake wanahitaji mapumziko lakini kimaumbile mwanume anahitaji tendo kila anaposhiba chakula ...so utateseka sana mwisho utumbukie kwenye michepuko .....mwanaume bila matara ni sawa na gari lenye tairi moja...safari itakuwa ngumu mzigo utakushinda kuubeba
  3. DR nijilekukasi

    Faida za kuoa mke zaidi ya mmoja katika jamii yetu kwa wanaume na wanawake

    Zifuatazo ni faida za kuoa mke zaidi ya mmoja 01. kupunguza wimbi kubwa la machafu ya uzinifu kwenye jamii....sababu wanawake asilimia kubwa watakuwa kwenye stara 02. Kuongezeka kwa uchumi na kukua maendeleo katika jamii ,hili jambo linatokana na baraka kutoka kwa Mungu wetu tutapowastiri...
Back
Top Bottom