Recent content by Dr Msemakweli

  1. D

    Barua ya wazi ya Madaktari Watarajali kwenda kwa Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu

    Hiyo MTC wewe umeiona wapi. Siku wabongo tukiacha kukurupuka tutafanikiwa sana
  2. D

    DOKEZO Madaktari zaidi ya 300 hatarini kupoteza nafasi kufuatia maamuzi ya Baraza la Madaktari

    Madakitari wa mchongo nadhani wanaletwa na huu utaratibu unaoanzishwa na MCT. Umuweke mtu mtaani miaka mitatu bila practice; Kwa bahati akaja kufaulu mtihani wako wa nadharia 😂😂 unadhani hapo utakua na dakitari; sidhani hata kama atakua anakumbuka hata kushika syrii😂😂
  3. D

    DOKEZO Madaktari zaidi ya 300 hatarini kupoteza nafasi kufuatia maamuzi ya Baraza la Madaktari

    Ndo waangalie namna Bora ya kusimamia practice na kusimamia vizuri mafunzo vyuoni
  4. D

    DOKEZO Madaktari zaidi ya 300 hatarini kupoteza nafasi kufuatia maamuzi ya Baraza la Madaktari

    Njia sahihi ni kupitia training zao tangu mavyuoni. Hili zoezi wanaliendesha ni kwamba walitafutie utaratibu mzuri wa kuliendesha kwapamoja na usimamizi mzuri wa practice.
Back
Top Bottom