Uhuru wa Kuchagua kwa ninavyoelewa ni uwezo wa Kuchagua pasipo kuingiliwa, maanake Mimi ndio najua nitakacho chagua, sasa kama mungu tayali anajua nitakachochagua, maanake alishalipanga before kuwa nichague lipi. Sasa kama alishanipamgia huo uhuru unao usema mbona siuelewi.?
Bado Kuna utata, k
Kama mungu anajua chaguzi zetu hata kabla hatujachagua. Huu sio uhuru tena.
Yeye anakuwa kama vile ameandaa Igizo, na amepanga characters na Kila characters anafahamu ataplay role ipi, na ili Igizo liende vizuri characters hawawezi kucheza kinyume na Matakwa ya mtengeneza...
Ok naona kama unakwepa swali kimtindo.
labda twende kwa mfano huu: ninawazo la kwenda kuzini. Hivyo nina two choices Either nisiende kuzini au niende.
Je mungu ambaye umesema amenipa Freewill je kabla sijachagua lolote kati ya hivyo viwili je anajua nitachagua nini?
Hapana sio kwamba ni magumu, bali yanajichanganya sema kwasababu tumekuwa brainwashed tangu utotoni, na tumekalilishwa kuwa maandiko ya mungu huwezi kuyaelewa kwa akili za kibinadamu wa huwezi kuyakosoa, hii ndio inawafanya watu wawe waoga na kushindwa kugundua mapungufu ya hizi Dini.
KAMA ULIKALILI TU MAANDIKO KAA PEMBENI HAUKUHUSU
Kama mafundisho ya Dini yanatuambia kuwa Mungu ananijua kabla hata sijazaliwa, maana yake anajua kila kitu ninachofanya na hadi nitakacho fanya baadae (kwa future)
(A) Maana yake mimi siwezi kwenda kinyume na anachokijua Mungu, sasa hii kauli ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.