Wakifanikiwa watakuwa wameongeza credibility ya mgombea wao kwani jamii itajua kuwa ccm inamwogopa mgombea huyo hadi kutaka kumkata na huko alikokimbilia kupitia msajili wao wa vyama vya siasa na tume yao ya uchaguzi.
Hii sarakasi aliyofanya Msajili wa vyama vya siasa nchini la kumkata mgombea uraisi wa ACT Wazalendo kwa kutumia katiba na kanuni za chama hicho, mbona ni rahisi tu kwa wao ACT Wazalendo nao kuicheza hiyo sarakasi.
Katiba na kanuni za chama ni mwongozo wa mkutano mkuu wa chama husika kwa...
Vyama huweka mawakala wanaonunulika au kuhongeka kirahisi. Wakati mwingine vyama haviweki mawakala kwenye baadhi ya vituo kwa sababu ya kutokuwa na uwezo wa kuwalipa.
Suluhisho: Tume ya Uchaguzi iruhusu vyama kuweka security cameras zao kwenye vituo vya kupigia kura na mawakala waruhusiwe kuwa...
Siku 10 alizotangaza ni za kuhamia kwa Mpina. Hivyo hakuna sababu ya kukamatwa. Yeye pamoja na Polepole wanategemewa watoke kwenye hicho chama kabla hakijawafukuza kwenye chama, ili kulinda heshima ya chama.
Tanzania siyo Kenya. Watanzania kitu pekee muhimu ni nchi yao kuwa na amani. Kukiwa na amani kila mtanzania ataweza kufanya kazi na kuishi kwa jasho lake kulingana na urefu wa kamba yake. Asiyefanya kazi na asile isipokuwa watoto na walemavu ambao watalishwa na wale wenye uwezo wa kufanya kazi...
Haya si ya kupuuzwa. Mchuano kwenye uchaguzuzi mkuu wa mwaka huu utakuwa mkali kuliko ule wa mwaka 2025 kipingi cha Lowassa.
Msikilize hapa mchambuzi nguri na mwanahabari wa masuala ya siasa, Mr Ngurumo:
https://youtu.be/4q0FicOPuo0?si=p6z9H2p5quFqvMK4
Siasa ni kama mchezo wa karata. Mjanja anayeweza kuzicheza karata zake vizuri kwa kawaida huibuka mshindi.
Zitto Kabwe ni hodari wa kuucheza huo mchezo. Anajua kuwa kumeguka kwa vyama vikuu vya siasa kuelekea uchaguzi mkuu vinatoa fursa za kuimarisha chama chake.
Mwaka 2015 chama cha CUF...
Kuna nini nyuma ya pazia kuhusu huyu Humphrey Polepole ambacho TCRA inakiogopa?
Kwanini wanafunga mtandao wa YouTube kila anapotaka kuongea? Leo tena tangia saa 1 usiku hadi saa hizi mtandao huu haupatikani na kuwakosesha watanzania habari mbalimbali za duniani kupitia mtandao huu.
Mbona...
Jana Humphrey Polepole ameweka wazi kile anachokililia ambapo hapo mwanzo hakikueleweka na wengi tukadhani labda akili zimemfyatuka.
Polepole ametoa siri ya mpango wa mtandao wao wa kuchukua kiti cha urais wa mwaka 2015 na 2025. Mtandao huo unahusisha vigogo kadhaa kwenye serikali ya JMT na...
Kuendelea kuwasikiliza watu ambao akili zao zimefyatuka wanaweza kukuambukiza na wewe akili zako pia zikafyatuka. Watu hawa ni kama akina Polepole na Gwajima. Wenye akili timamu huwa kwanza wanajiondoa kwenye chama chao ndipo wanaanza kukinanga. Ukifanya hivyo utakuwa msaliti ndank yachama chako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.