Recent content by Dr Ahmed Albah-Shahwa

  1. Dr Ahmed Albah-Shahwa

    PostGE2025 Mwigulu: Vurugu za Oktoba 29 zilipangwa ili kuharibu uchaguzi. Hakuna katiba inayopatikana kwa miezi sita

    Anaposema miezi sita haitoshi kupata katiba mpya anamaanisha nini? wakati Jaji Sinde Warioba alianza na mchakato toka enzi za kina kikwete, miezi sita haijatimia tu??
  2. Dr Ahmed Albah-Shahwa

    Makala Elimishi: Kwanini JWTZ Kamwe Haliwezi Kupindua Serikali Tanzania? Ni JWTZ ya Serikali ya CCM, ni JWTZ CCM!

    Kwenye nchi hii amani tunayo toka 1961 na kabla, kitu tunakosa ni HAKI tu basi. Amani bila haki ni WOGA.
  3. Dr Ahmed Albah-Shahwa

    Hakuna kitabu chochote kitakatifu (Qoran/Bible) kilichoagiza Maridhiano na Shetani

    Niunge mkono hoja kwani itakuwa maajabu yaani upande mlima kilimanjaro karibu na kileleni bado 10m, kisha ughairi ubebwe na chopa kumalizia safari, wazee waendelee kukaza na kushikilia pale pale.
  4. Dr Ahmed Albah-Shahwa

    Makala Elimishi: Kwanini JWTZ Kamwe Haliwezi Kupindua Serikali Tanzania? Ni JWTZ ya Serikali ya CCM, ni JWTZ CCM!

    Hii naikumbuka jeshi limeshuka thamani mapolisi tu wanawapapasa siku hizi. #MjedaKawaMgambo
  5. Dr Ahmed Albah-Shahwa

    Makala Elimishi: Kwanini JWTZ Kamwe Haliwezi Kupindua Serikali Tanzania? Ni JWTZ ya Serikali ya CCM, ni JWTZ CCM!

    Nakubali kazi ya jeshi ni kulinda mafisadi na mali zao zikitoroshwa kwenda nje, wao wajeda wanahakikisha wanaiba vizuri tumeona kwenye swala la makaa ya mawe kusini na korosho pia.
  6. Dr Ahmed Albah-Shahwa

    Wameuawa watu wengi tangu Oktoba 29, kwanini ndugu wa waliouwa wapo kimya na hamna dalili zozote za retaliation

    Unaweza kukuta hao raia wanaokusanyika kumsikiliza wanalipwa sio bure, maana sio kwa zile pumba alizokuwa anaongea kwamba watu waliokufa ni wachache na kuhesabu miili hawawezi eti wako kwenye maombolezo, unawezaje kuua halafu uomboleze??
  7. Dr Ahmed Albah-Shahwa

    Unaambiwa mauaji ya Oktoba 29 hayakuwa kwa bahati mbaya

    Sio kweli huwezi kujichunguza kwenye kesi ya mauaji labda kama watakuja FBI, Scotland yard, CIA etc
  8. Dr Ahmed Albah-Shahwa

    Unaambiwa mauaji ya Oktoba 29 hayakuwa kwa bahati mbaya

    Kuhusu ukweli kwamba mauaji ya 29 oktoba yalipangwa hiyo iko wazi kama yanavyopangwa mauaji na vitendo vya utekaji vya kila siku, wasingekuwa wamepanga wasingeagiza askari kutoka zanzibar na uganda wala lile kontena la silaha, pia tusingemwona yule bonge Chivayo ikulu.
  9. Dr Ahmed Albah-Shahwa

    Unaambiwa mauaji ya Oktoba 29 hayakuwa kwa bahati mbaya

    Huyo huwa tunamuignore tu hatujadiliani naye jambo, labda kama unataka kumtukana tu zombi hilo wako wengi humu huwa wanapokea elfu saba saba kwa siku, kazi yao ni kutetea mauaji.
  10. Dr Ahmed Albah-Shahwa

    PostGE2025 Binti wa miaka 21, Fatuma Roby Marwa, adaiwa kutekwa Sirari mkoani Mara, kwa madai yanayohusishwa na kaka yake anayejulikana kama mpigania haki

    Duh sasa mjionee wenyewe tofauti kati ya hawa polisi na majambazi ni nini? na huyo unakuta wamemtamani tu hana hata uhusiano na kesi yao? Jiulize angekuwa wa kiume wangemchukua? Ndio maana tunasema tupinge ubakaji/ulawiti wa polisi - Utawala wa sheria ni muhimu katika kuongoza nchi.
  11. Dr Ahmed Albah-Shahwa

    Tanzania imeingia kwenye rekodi ya Dunia. Inakadiriwa Vifo 10,000 kwa masaa 72 sawa vifo 2 kwa dakika

    Achana na Kyela kuna Tunduma, Mwanza na ile miili ya mwananyamala, muhimbili iliyolazwa tu chini kwani mochuari kulikwa kumejaa sijazungumzia iliyochomwa moto, hii ni miili tunayoijua kuna ambayo hatuna taarifa nayo unaweza kukadiria ni mingapi? Dar pekee miili ilikuwa zaidi ya 5000 inayojulikana.
  12. Dr Ahmed Albah-Shahwa

    Tanzania imeingia kwenye rekodi ya Dunia. Inakadiriwa Vifo 10,000 kwa masaa 72 sawa vifo 2 kwa dakika

    Kuna wanaodai vifo vilikuwa 23k kwa hesabu zako hizo ni walau watu 5 na majeruhi mmoja kila dakika, hii ni rekodi mpya katika ardhi ya Tanganyika. Tunapendekeza oktoba 29 iwe siku ya kitaifa kuwaenzi mashujaa.
  13. Dr Ahmed Albah-Shahwa

    Watu wanatweka mubashara sio kificho tena, mnataka nini nyie CCM

    Mimi nnavyojua mapenzi huwa hayalazimishwi, wenyewe watakuambia mbona nchi zingine watu wanatekwa wanauawa, wanabakwa na kufirwa(hii ya kufirwa kwa wenzetu(mbele) sina uhakika kama inafanywa kwa kiwango cha nyumbani huku kesi ni nyingi mno kuziignore, inaweza ikawa ni ubunifu wa kwetu), kwa hiyo...
  14. Dr Ahmed Albah-Shahwa

    Clemence Mwandambo: Kuwaleta wanajeshi mtaani kupambana na raia ni kuwashushia HADHI

    Ndio, nimetaja kwa ujumla ukishasema Tanganyika na watanganyika na itikadi zao za kisiasa, hayo mengine automatically yanaangukia kwenye Tanganyika, ambamo humo nataka nikulete kwenye hoja kwamba hawajafanya majukumu yao. Katika kulinda rasilimali zote za nchi wao wanalinda mwendokasi, huku...
Back
Top Bottom