Kaiulize serikali kwamba ni nani aliyeamisha hela ya ujenzi wa barabara ya kamanga ferry to sengerema na Sengerema to nyehunge wakati mikataba imeishasainiwa na mkandarasi yuko kazini???Na kwanini ujenzi usitishwe bila taarifa nakuacha mavifusi ya udongo katikati ya barabara??
Kama mnadangaywa na mipango wa system kwamba Mwanza imedumaa na kutaka kuipoteza kabisa mnapoteza muda.Saizi ni mwaka mzima tangu wafunge bara bara za kuingia na kutoka kwa kisingizio cha kujenga vidaraja viwili mkuyuni na mabatini,sasa kawaulize wanamwanza wamepungukiwa nini na wao wamefaidika...
Tunalijua hilo ndo maana uwezi sikia watu wa Mwanza wanalalamika kuhusu changamoto zao kama huko kwingine zaidi ya kupambana nazo.Wewe unapiga domo ukiwa huko jangwani hata nikikwambia umuhimu wa daraja la jpm uwezi kunielewa.
Wewe leta zako kama sio vijengo vya Mtumba na vijumba vya vyumba viwili vya NHc.Badae ulalamike unataka cbd ya Mwanza tu wakati Cbd ya dodoma unaikataa.
Wewe hakuna unalojua kuhusu kanda ya ziwa na Mwanza.Uchumi wa Mwanza hauwezi kuelekea Geita kwasababu nyingi mojawapo ni geographical location na miundo mbinu.Kipindi cha Magufuri alijaribu kama kuigawa kanda kama kanda ya ziwa mashariki na kanda ya ziwa magharibi kahamishia baadhi ya ofisi...
Wewe kijana achana na taarifa za kisiasa,kwahiyo Geita ina viwanda vya tofali na refinery kubwa na viwanda vya nondo kuliko Mwanza??🤣🤣🤣Umeanza kuchanganyikiwa wewe.Mwanza isikie tu ni moto wakuotea mbali.
🤣🤣🤣🤣wewe mweu kweli hiyo sio China ni Mwanza ya Tanzania.Wewe endelea kuishi mavumbini Dodoma utaendelea kuona majiji Mengine kama China kwasababu ya ushamba wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.