Recent content by Doz m

  1. Doz m

    Mtaalam wa mifugo natafuta kazi

    Zile nafas zilizotoka utumishi hukuomba ndg? Km uliomba kuwa na subira naona wanatoa Kwa awamu awamu,huwez jua awamu ijayo yaweza kuwa yako. Km ukikosa JitAhid ujiajir mwenyewe kwa shughl yyt Ile kuliko kutegemea kuajiliwa
  2. Doz m

    Ni recruitment portal ipi unayoikubali na kuiamini?

    Pole ,km mm vile, saiv Nina kibanda changu Cha mpesa,nshaisahau hata kuapply ,ngoja nkomae Nako haka haka tutatoboa tu.ajira za bahat sana siku hiz,acha watoto wa vigogo wakalie waendelee kuchezea viti vya kuzunguka,
  3. Doz m

    Kwanini PSSR siku hizi wanaita watu kazini kwa awamu badala ya mkupuo kama ilivyozoeleka?

    Kwanini PSSR siku hizi wanaita watu kazini kwa awamu, badala ya kuita wote kwa mkupuo kama ilivyozoeleka? Yaani mfano, tumeomba kazi mwezi wa 5 mwaka jana, tukaitwa interview mwezi wa kwanza na wa pili, placement ndio inafanyika sasa lakini kwa awamu. Watu tumefanya usaili siku moja, halafu...
  4. Doz m

    Msaada juu ya maswali ya written interview Utumishi

    Naombeni kujua nature ya maswali ya hivi karibuni kwa wale mliofanya interview utumishi kwa Kanda mbalimbali, zaman tulizoe kila usaili maswali ya research ,saiv kukoje nipen mwanga kidogo jamani.
  5. Doz m

    Nikifanya mapenzi peku na mwanamke yeyote, baada ya siku kadhaa atasema tumbo linamuuma. Tatizo laweza kuwa nini?

    Fungus pia zishawah kunisumbua japo zenyewe zishapona,,ww ulienda hospital ulitumia dawa gan
  6. Doz m

    Nikifanya mapenzi peku na mwanamke yeyote, baada ya siku kadhaa atasema tumbo linamuuma. Tatizo laweza kuwa nini?

    Naombeni ushauri wa kitiba, kila nikitembea na mwanamke pekupeku lazima baada ya siku kadhaa akuambie tumbo linamuuma, na mimi kwa upande wangu uume umekuwa ukiniwasha washa kwene urethra hadi unatamani uigize kakitu ukune, lakini pia nikibana mkojo kidogo tumbo linajaa na mara nying tumbo...
Back
Top Bottom