Ukavu uliopitiliza kwa ‘bibi’ katika umri wa kuzaa siyo hali ya kawaida. Ni hali ya kawaida kwa waliokoma hedhi (menopausal). Tatizo la ukavu husababishwa na upungufu wa homoni ya estrojeni. Pia kuna sababu nyingi zinazopelekea homoni ya estrojeni kuwa chini.
Poleni kwa changamoto ya uzazi. Kipimo aina gani amefanya kuonyesha ‘chronic PID’?
Ushauri:- Mke afanyiwe kipimo cha ‘Transvaginal ultrasound’, tutumie kwa email info@navan.care au WhatsApp 0755313996 tutawasaidia. Karibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.