UTANGULIZI.
Ubinifu wa teknolojia umeendelea kushika kasi dunia huku gunduzi za teknojia mbalimbali zikigunduliwa kwenye nyanja mbalimbali ikiwemo mawasiliano, elimu, afya, usafiri za uzalishaji. Teknolojia ni mchakato wa utumiaji wa maarifa ya sayansi kwa dhumuni la vitendo au matumizi...
UTANGULIZI.
Utawala bora ni nyenzo muhimu katika maendeleo ya kiuchumi, kidemokrasia, kijamii na hata maandeleo ya mtu mmoja mmoja. Utawala bora ni zoezi la viongozi katika ngazi zote kusimamia misingi ya haki na usawa katika matumizi ya rasilimali kwajili ya maendeleo ya wananchi kwa ujumla...
UTANGULIZI.
Maendeleo katika taifa yanaletwa na miundombinu ya uhakika nyanja zote za uzalishaji na usafirishaji. Serikali imekua ikitimiza miradi mikubwa ya kimaendeleo ambayo imekua ikitekelezwa kwa awamu. Utekelezwaji huu unahitaji ununuzi wa malighafi kwajili ya kukamilisha miradi hiyo. Eneo...
UTANGULIZI
Demokrasia ya kweli ni uwezo mkubwa wa taifa katika uwasilishaji wa mawazo utakao ruhusu kupokea mitazamo kwa kila mwananchi. Katika kuzingatia hilo uwakilishi wa maamuzi kitaifa hufanywa na watu wachache wanao chaguliwa na wananchi wote. Umuhimu wa wakilishi upo kwenye kila nyanja ya...
UTANGULIZI
Ukuaji wa taifa kimaendeleo inategemea zaidi kujitegemea wa taifa kiuchumi na uzalishaji. Tanzania bado inategemea mataifa makubwa kimsaada na kukopa kama njia ya kujipatia fedha, hali hii husababisha serikali kukopa fedha kwajili ya miradi ya maendeleo ikisubiri kutumia makusanyo ya...
UTANGULIZI
Changamoto ya ukosefu wa ajira nchini imeendelea kukua kwa kasi huku sababu zikielezwa kua ni ufinyu wa bajeti na wahitimu wasio na weledi. Ukosefu wa ajara unapelekea vijana wengi wakijiingiza katika matumizi ya madawa ya kulevya pamoja na kuongezeka kwa vijana tegemezi. Ukosefu wa...
Muhtasari
kulingana na kukua kwa takwimu za vifo vitokanavyo na wivu wa mapenzi, Andiko hii imeangazia kwa undani juu ya asili ya wivu, uhusiano uliopo kati ya wivu na mapenzi, namna wivu unaleta uhalifu, na nini chakufanya kutatuta uhalifu huu wa hisia.
UTANGULIZI
Mnamo tarehe 16 ya mwezi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.