Hawezi akawa kichaa huyo, kuna mmoja alikuaga anapita madukani anaomba hela halafu mkononi kashika bonge ya jiwe ukikataa anatemea jiwe mate then anakutishia nalo mpaka Umpe hela, ila alikua anaenda maduka yanayouzwa na wanawake tuu, akikuta mwanaume haingii, sikumoja tukaweka wanaume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.