Recent content by Dossa

  1. D

    Kanuni mpya ya mafao kwa wastaafu kupata 25% inayobaki 75 kuunganishwa katika pension ya mwezi

    Msiwapangie wastaafu matumizi wapangieni wabunge wanao staafu eti ntatumia vibaya wewe inakuhilusinakuhusu mini ...sheria iliyopita unalipwa yote na monthly pension unalipwa serikali ya awamu hii mini shidada ningeona wana busara wangeshusha mishahara na mafao ya wabunge maana mshahara Wa mvunge...
  2. D

    Kama awamu zote nne watu walikula mafao yao yote, awamu hii shida ipo wapi

    Serikali kukopa mifuko nakushindwa kurudisha pesa isilete liability kwa watumishi itafute pesa ilipe mishahara yenyewe mmegoma kupandisha licha ya kuahidi kila may mosi ...kwanza may mosi isiwepo tu maana hata ikiwepo no changes Sana'a tu
  3. D

    Kama awamu zote nne watu walikula mafao yao yote, awamu hii shida ipo wapi

    Wasitupangie matumizi watupe Bela yetu vote mi nadhani wangepeleka muswada kupunguza Mafao yao na walipwe asilimia 25
  4. D

    Katika safari yangu, nilichokiona maeneo ya Pwani kinasikitisha

    Kuna sehemu panaitwa matipwili tkaka matikiti yanayotoka huko mkuranga hawaoni ndani so mtoa mada dont judge the book by its cover
  5. D

    Katika safari yangu, nilichokiona maeneo ya Pwani kinasikitisha

    Wakwere wanacheza ngoma kila siku huulizi hela wanatoa wapi tehe tehe...kuna ardhi ya kichanga kwa mhogo na nanas we acha tu mite nimelima heka 3 muhogo sehemu wanapaita talawanda
  6. D

    Katika safari yangu, nilichokiona maeneo ya Pwani kinasikitisha

    Mi niwaambie kitu nina shamba chalinze heka tisa nimekuwa nikilima mahindi yanakubali kinyama ...mashamba yapo ndani 5 km from main road watu wanalima sana ila mwaka huu imetukatisha tamaha bei ya mahindi watu tumeacha kulima unalimaje wakati stock uliyonayo ndani hujui utaiuzaje
  7. D

    Bodi ya mishahara yafikia Hatua ya mwisho kurekebisha mishahara ya watumishi wa Umma kuondoa uwiano

    Zaidi ya hapo unakuta wakuu wa idara wengine hawana hata degree wanalamba super scale sijui Tamisemi ilifikiria nini kuwalipa jamaa hela nyingi hivyo...hivi mh Rais anajua zaidi ya mshahara wanalipwa house allowance 600000 kwa mwezi jamani nyuma gani ya bei hiyo kiuhalisia...? Wanalipwa 210000...
  8. D

    Bodi ya mishahara yafikia Hatua ya mwisho kurekebisha mishahara ya watumishi wa Umma kuondoa uwiano

    Guys niwaambie kitu kinachokatisha tamaa wakuu wa idara kutoka halmashauri wanalipwa 3.5 m yaani anabeba mshahara ya graduates 5 can you imagine alafu kazi wanafanya watu wengine yeye ni anaelekeza tu na kuwasilisha kikaoni this is quite unfair wange weka gap dogo siyo graduate akachukia 725000...
  9. D

    Kiama chaja: Bomoabomoa ya kufa mtu kuikumba nchi nzima! Ni kwa waliojenga bila vibali

    Kukopa pesa unanipangia matumizi huyu waziri mgonjwa nini
  10. D

    Nchi kumi bora kwa askari wake kula rushwa Africa, iangalie Tanzania kama ipo

    Ya tz hawawezi kugundua maana rushwa yake ya siri mno
  11. D

    Ni kweli watumishi 28,000 walikuwa wakilipwa Shilingi Bilioni 526 kwa mwezi?

    Wabunge wanalipwa ngapi kwa mwezi bunge zima...?
Back
Top Bottom