Recent content by Dossa the Economist

  1. D

    Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi yazionya Taasisi za mikopo zinazodhalilisha watu ikiwemo kutuma ujumbe kwa ndugu

    Makampuni mengi yanaajiri vijana wa kudai madeni , anayedai sanaa ndo analipwa yaani wanatumia nguvu na ideas kama hizo bila kujua kama wanakosea , wao wanachojali ni walipwe ili na wao walipwe basi apo ni mtafutanoa kila kona!
  2. D

    Kwanini hamtaki kujibu haya maswali kwenye Biblia?

    Ninachojua kutoka kwa mafundisho ya kiislam, Adam na hawa walikuwa wanazaa pacha mke na mme , ila kuoana ikabidi , wabadilishane pacha yaani kaini aoe pacha wa khabili , alikaidi akasema atamwoa pacha wake mwenyewe kwan alisema ni msuri sanaa ! Hivyo kwa swali lako majibu ni kwamba walikuwa...
  3. D

    Baba yangu hakuniachia urithi lakini ndugu zangu wengine wamepewa wote, je nikijitenga na ile familia nakosea?

    Usikate undugu kisa urithi , focus na utakachojaliwa hapa duniani , Mali na watoto ni mapambo tu apa duniani !
  4. D

    SoC04 Uchumi Endelevu kwa Tanzania yetu

    To some extent, kama ni percent may be bellow 20%
  5. D

    SoC04 Uchumi Endelevu kwa Tanzania yetu

    Utangulizi, Uchumi ni neno lenye maana pana sanaa, ila kwa kifupu uchumi ni jinsi tunavyoweza kutumia rasilimali tulizo nazo kutimiza mahitaji yetu ya kila siku kama mtu mmoja, familia , ukoo, jamii mpaka taifa na kimataifa. Uchumi endelevu ni jinsi ya kutumia rasilimali tulizonazo...
Back
Top Bottom