Ni muhimu Serikali yetu ikawa inatafuta ushauri kwa wataalam wake wa ndani. Na sio kupokea kila kitu kwa sababu tu ni msaada.
Hii teknologia ya "kufyatua" miguu kwa one size fits all si sahihi. Kila mwanadamu ni unique na ana umbo na mwili tofauti. Mguu bandia hutengenezwa kwa kuangalia na...
Ni maadhimisho. Hii ni siku ya watu wenye ulemavu na lengo kuu ni kuelimisha umma juu ya watu wenye ulemavu ikiwa ni kujua mafanikio na changamoto mbalimbali wanazokutana nazo.
Bado siku hii inaadhimishwa kwa gharama kidogo mno ukilinganisha na hizo nyingine.
Hii ni misconception. Kwa wale wanaojua professional massage ni kama tiba. Jaribu tu ku google "massage business USA".Wenzetu huko wana kada kabisa iliyosajiliwa "massage therapists/ massagists".
Masaji ni nini? Ni nenolinalotumika kuelezea utalaam wa kunyumbua (kubonyeza, kusugua, kukanda) ngozina misuli ya mwili. Mtaalam wa masaji mara nyingi hutumia viganja vya mikono lakiniwanaweza kutumia sehemu nyingine za mwili kama vidole, viwiko hata miguu ilikuleta matokeo yanayohitajika. Pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.