Nakuelewa sana na mimi ni mojawapo ila serikali kuja kulielewa hilo linachukua muda mrefu mwisho wa siku ukimaliza mkataba wako unarudi mtaani na kuanza kuhangaika tena.
Embu fanya mambo mengine acha kuwaza hilo maisha lazima yaendelee bado ww ni kijana na kuna fursa nyingi nje so zitumie hizo fursa na wakati wa kupata ajira basi utapata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.