Recent content by domokaya

  1. domokaya

    Kabendera: Komando mstaafu na aliyeshriki Jaribio la Mapinduzi dhidi ya Nyerere mwaka 1982, Christopher Kadego alitekwa na kuuawa kwa amri ya Magufuli

    Kwani Kadago alikuwa na umri wa miaka mingapi? Maana hoja nyingine ukitafuta mantiki hupati
  2. domokaya

    Rais Samia Afungua Nchi na Kuwezesha Bei ya Zao la Mbaazi Kuongeza Kwa asilimia 1000% kutoka shilingi 200 (2020) Hadi Shilingi 1,200 (2025)

    Mbaazi haikuwahi kuuzwa 200 kwa kilo, kwani ulipotoka wito shule za bweni zikanunue hizo mbaazi ziwe mboga mbadala wa maharage, hizo mbaazi za 200 hazikupatikana!!
  3. domokaya

    Polepole, Sio kila blunder wakati wa utawala wa Magufuli wakalaumiwa mtandao; hii ni kufanya watu ni wajinga na vilaza

    Wabunge waliounga juhudi wapo, unamlaumu Magufuli. Mbowe ameunga juhudi, unamlaumu nani? Jambo la kufahamu ni kuwa hakujuwepo vyama vya siasa tokea mwanzo. Kilichokuwa kikifanyika ni mchezo tu. Magufulihakuutaka huo mchezo wa kuwalipa akina Mbowe na akina Zitto na kuwapa viti kadhaa vya ubunge...
  4. domokaya

    Kamba za Polepole: Kama Membe alipatikana na hatia za kupanga kumuua Magufuli, kwanini hakushtakiwa kwa kosa la jinai, akafukuzwa tu CCM?

    Fuatilia kwanza kwa nini Ben Saanane alitokewa Chadema akapelekwa katika ofisi binafsi ya Mbowe kabla hajapotea. Msilishwe matango pori ya kutunga! Soka nae alifanya nini mpaka akapotea? Zitto alinusurika vipi, lakini Chacha Wangwe akapotea? Wote waliopotea au kupata misukosuko Chadema...
  5. domokaya

    Bila kuzungumzia Kupigwa Risasi kwa Lissu, Polepole hutaeleweka!

    Kwa hiyo hufahamu Lissu na Mbowe wamefarakana kwa jambo gani? Hata hujui Wangwe Chacha aliondokaje? Na hata hujui miaka yote hii Mbowe amekuwa upande gani na akifanya nini? Bado umelala wewe…amka angalau ujue hii leo Mbowe yuko wapi na anafanya nini. Msikie Lissu siku hizi, kati ya Magufuli na...
  6. domokaya

    Bila kuzungumzia Kupigwa Risasi kwa Lissu, Polepole hutaeleweka!

    Wewe nani kuchagua ku deal na anayefichua maovu huku ukiamua kuachana na aliyetenda jinai? Tuhuma toka za chacha wangwe, kumchukua Ben saanane kumuweka katika ofisi yake binafsi alikopotelea unasema to hell with him? Sasa huyo ndio mtendakazi mwenyewe dhidi ya wakiokuwa wakipinga undumilakuwili...
  7. domokaya

    Bila kuzungumzia Kupigwa Risasi kwa Lissu, Polepole hutaeleweka!

    Kwa nini Polepole ndio awe wa kufanya mambo yote peke yake. Sisi wengine tunafanya nini? Polepole kasema genge la utekaji na uuaji ambalo hata yeye mwenyewe lilitaka kumtaja, unataka aseme nini tena? Kwani mpaka dakika hii wewe hujui Mbowe yuko kundi gani kati ya CCM mtandao na ccm halisi?
  8. domokaya

    BAWACHA yamtaka Polepole amtaje aliyempiga Lissu risasi

    Yaani ni nyumbu nyumbu kweli kwelikweli. Wana vinongwa visivyo akili na wanaamini hisia zao ndio ukweli. Mtu akiamua kufanya jambo la maana kwa taifa wanampa jingine afanye. Wanajiita wana akili, wao wanafanya nini? Polepole kasema yake, kwa nini wao wasiibuke wakasema yao? Mbons kuna waliowahi...
  9. domokaya

    Tanzania hatupigi kura kidigitali kwamba mtu akiwa na NIDA tayari kapiga kura, tunapiga kura kwenye boksi zinahesabiwa mbele ya mawakala

    kama kura zinapigwa manually inakuwaje matokeo yanatangazwa 'kwa mfumo wa kidigitally?
  10. domokaya

    Usiri Ndani ya Tume ya Uchaguzi ni Ishara wazi kuwa BVR ni Mzoga, wanaulinda kuiokoa CCM!

    https://www.jamiiforums.com/threads/usiri-ndani-ya-tume-ya-uchaguzi-ni-ishara-wazi-kuwa-bvr-ni-mzoga-wanaulinda-kuiokoa-ccm.808754/post-11983103
  11. domokaya

    Tanzania hatupigi kura kidigitali kwamba mtu akiwa na NIDA tayari kapiga kura, tunapiga kura kwenye boksi zinahesabiwa mbele ya mawakala

    Kura zinapigwa manually, lakini matokeo yanatolewa kwenye mfumo na INEC kwani wewe hili hulijui? Hukumbuki wale wataalam wa mifumo wa Lowasa wengine kutoka nchi jirani walivyokuwa ambushed, kukamatwa na kuwekwa kizuizini? Au hufahamu kuwa January alikuwa mratibu wa huo mfumo katika jumba mahsusi...
  12. domokaya

    Yericko Nyerere; Everist Chahali anaweza kuwa anakuzushia, lakini kauli zako dhidi ya Lissu zina utata

    Kwani Yericko anashindania kitu gani na Lissu mpaka wawekwe katika mizania moja kiasi cha kufikiria mdahalo?
  13. domokaya

    Yericko Nyerere; Everist Chahali anaweza kuwa anakuzushia, lakini kauli zako dhidi ya Lissu zina utata

    Kwani Yericko anashindania kitu gani na Lissu mpaka wawekwe katika mizania moja kiasi cha kufikiria mdahalo?
Back
Top Bottom