kwani nani kabisha? hata kwenye mchanganuo wa zito alisema kiasi cha waziri mkuu ni milioni 6. ila jumlisha na za ubunge milioni 12 jumlisha na uwaziri milioni 6 inakuwa milioni 24.
ili jamaa jinga kweli,mwili mkubwa kichwani sifuri,unaongelea CV?unajua elimu ya bill gates we boya?kwanza ebu ona lilivyokuwa jinga!eti associate degree! thats shit.
Ndugai karibu anafanikiwa kutekeleza kazi ya kuiua CCM!hivi nyinyi CCM akili zenu zikoje?mbona ni akili ndogo tu kujua kwamba matendo ya Ndugai yanafanya upinzani kukua?hivi amuoni upinzani unavyozidi kupata umaarufu kutokana na matendo ya Ndugai bungeni?hivi nyinyi akili zetu zipo wapi?mbona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.