Recent content by DOMINGO THOMAS

  1. DOMINGO THOMAS

    Ipi ni njia bora ya mstaafu kulipwa pensheni yake?

    1. Kulipwa Pensheni Nzima (Full Pension) mara moja, bila malipo ya kila mwezi baada ya hapo; au 2. Kulipwa Kiinua Mgongo pamoja na Pensheni ya Kila Mwezi hadi mwisho wa maisha ya mstaafu.
  2. DOMINGO THOMAS

    Fahamu kuhusu Fao la Kukosa Ajira Tanzania (Unemployment Benefit)

    Basic Salary × 0.333 = (Jibu unazidisha mara sita/ ulicho kipata utalipwa mara 6)
  3. DOMINGO THOMAS

    Malipo ya mafao ya mstaafu kwa mujibu wa sheria za hifadhi ya jamii Tanzania

    Baada ya mwanachama kustaafu rasmi utumishi wake, Mfuko wa Hifadhi ya Jamii husika unatakiwa kuchakata na kulipa mafao ya mstaafu ndani ya siku sitini (60) tangu kukamilika kwa nyaraka zote muhimu za madai ya mafao. Kisheria, masharti haya yameainishwa wazi katika sheria mbalimbali za hifadhi...
  4. DOMINGO THOMAS

    Fahamu kuhusu Fao la Kukosa Ajira Tanzania (Unemployment Benefit)

    Sasa hapa tatizo ni upatikanaji wa ajira nyengine .... Ndio tatizo sio sheria...!?
  5. DOMINGO THOMAS

    Fahamu kuhusu Fao la Kukosa Ajira Tanzania (Unemployment Benefit)

    Sababu kubwa inayofanya Unemployment benefits kulipwa hivyo, ni kulinda mwanachama asipoteze sifa ya kuwa pensioner.... Kuwa na wazee wengi tegemezi ni mzigo katika taifa lolote lile duniani.
  6. DOMINGO THOMAS

    Fahamu kuhusu Fao la Kukosa Ajira Tanzania (Unemployment Benefit)

    Hapana mafao hayana kodi, hata pensheni ya Kila mwezi wanayo lipwa wastaafu haina kodi.
  7. DOMINGO THOMAS

    Fahamu kuhusu Fao la Kukosa Ajira Tanzania (Unemployment Benefit)

    Ndani ya miaka kumi kabla ya kustaafu tunatafuta miaka mitatu (miezi 36) iliyo kuwa na mishahara mikubwa kuzidi mingine hiyo tuna ijumulisha alafu tunagawa kwa 3.. ndio tunapata jibu la hapo... Kuhusu mfano, labda nije na uzi mwingine.
  8. DOMINGO THOMAS

    Fahamu kuhusu Fao la Kukosa Ajira Tanzania (Unemployment Benefit)

    Kitakacho kufanya upate mafao yako ni kuwa na barua ya ukomo wa kazi, nazani njia ya kufanya ni kupata barua ya kuachishwa kazi
  9. DOMINGO THOMAS

    Fahamu kuhusu Fao la Kukosa Ajira Tanzania (Unemployment Benefit)

    Kuhusu fao la kujitoa kwanini liliondolewa nilisha elezea muda... FORMULA YA KIKOKOTOO KIPYA KWENYE KIINUA MGONGO (KWA WALIO KUWA WANACHAMA WA LAPF NA PSPF) 1/580 x Miezi ya uchangiaji katika mfuko x Wastani wa mishahara bora ya miaka mitatu (3) ndani ya miaka 10 kabla ya kustaafu x 0.40 x...
  10. DOMINGO THOMAS

    Fahamu kuhusu Fao la Kukosa Ajira Tanzania (Unemployment Benefit)

    Yes, utalipwa tena fao la kukosa ajira.. hata hiyo hari ikijitokeza mara 10 utaratibu wa kulipwa ni huohuo.
  11. DOMINGO THOMAS

    Fahamu kuhusu Fao la Kukosa Ajira Tanzania (Unemployment Benefit)

    -Utaratibu/Sheria zilizopo za mtu aliye poteza ajira na amechangia kwenye mfuko miezi 180+ na miaka yake ni chini ya 55 ni atalipwa kiinua mgongo sasa na pensheni ya Kila mwezi ataanza kulipwa atakapo fikia miaka 55.. FORMULA YA KIKOKOTOO KIPYA KWENYE KIINUA MGONGO (KWA WALIO KUWA WANACHAMA WA...
  12. DOMINGO THOMAS

    Fahamu kuhusu Fao la Kukosa Ajira Tanzania (Unemployment Benefit)

    Mimi sipo kwenye mfuko wowote wala sio mwajiriwa wa serikali, nimeeleza kama Mtaalamu wa hifadhi ya jamii, kama tunaona sheria zilizopo sasa ni mbaya tuwaambie wabunge wetu waziwasilishe bungeni Kwa upande wa wabunge nimesha elezea kuwa wao sio wanachama wa PSSSF/NSSF na hawalipwi na hiyo mifuko
  13. DOMINGO THOMAS

    Fahamu kuhusu Fao la Kukosa Ajira Tanzania (Unemployment Benefit)

    Mimi sipo kwenye mfuko wowote wala sio mwajiriwa wa serikali, nimeeleza kama Mtaalamu wa hifadhi ya jamii, kama tunaona sheria zilizopo sasa ni mbaya tuwaambie wabunge wetu waziwasilishe bungeni
Back
Top Bottom