DC KATAMBI AUNGURUMA, AGAWA MSHAHARA WAKE KUPAMBANA NA UFISADI
Hataki Masihara! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi kutangaza kugawa mshahara wake ili kupambana na ufisadi na rushwa.
Tangu kuingia kwa Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais John...
DC KATAMBI ATOA ONYO “NITAWASHUGULIKIA WANAOLETA MIGOGORO”
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi amesema atawashughulikia watendaji wote ambao wamekuwa wakichangia uwepo wa migogoro ya ardhi.
DC Katambi ameyasema hayo wakati alipokua akijibu swali la wandishi wa habari waliotaka kujua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.