Wewe ndiye ule mtandao au? Maana umeegemea upande mmoja tu, waliofuatwa majumbani mwao huzungumzii kabisa.. Au wewe ndiye mganga uliyeagiza hizo damu za watu? Kwa hakika hazitaenda bure kama unavyofikiria, pengine Mungu atashusha pigo baya kuliko unalofurahia, uzuri Mungu hapokei rushwa...
Waliofuatwa Majumbani mwao je? Huwezi halalisha uovu kwa uovu..
Pengine hata wewe yangeweza kukukuta.. Ongea kama haikuhusu.. lakini ipo siku utagundua hukua sahihi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.