mkuu umekurupuka kama una ushauri kaa kimya,maana hujui alicho nacho mtu,ndo mana sikuzungumzia kuajiriwa, nimezungumzia kujiajiri,ulipaswa kutoa ushauri ulio nao sio kuzodoa,unafeli wapi msomi mwenzangu!?
ninataka kusoma moja kati ya hizi ila naombeni kujua ipi ni nzuri kujiajiri na rahisi kuliko nyingine,na je Nurse anaweza akajiajiri katika ajira ya umiliki na uuzaji wa duka la dawa za binadamu? naomba kuwasilisha.
samahani jamani kwa aliyechaguliwa vyuo hivi:
Bugando school of nursing
Kiomboi school of nursing
Nzega school of nursing
Tanga school of nursing
Kahama school of nursing
kama yupo tafadhali naomba kujuzwa
yani kulog in haina shida ila unakuta kwamba congratulations,you have reached end of application process........hivo yani...sijui ndo bye bye...kwani ukikosa si pia wanakupa taarifa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.