Recent content by Dmuganyizi

  1. Dmuganyizi

    Nahitaji kufanya biashara ya vitenge

    Na nikitaka kuwauzia hao wa kariakoo,mzigo unapatikana wap
  2. Dmuganyizi

    Nahitaji kufanya biashara ya vitenge

    Please naombeni mnijibu wadau wa vitenge.
  3. Dmuganyizi

    Nahitaji kufanya biashara ya vitenge

    Mim niko daresalaam ,kwahiyo naomba mchakato mzima kama nilivyoomba hapo juu
  4. Dmuganyizi

    Nahitaji kufanya biashara ya vitenge

    Pia ni aina gani ya vitenge ambavyo vinafaa kwa biashara,
  5. Dmuganyizi

    Nahitaji kufanya biashara ya vitenge

    Naitaji kujua vinapopatikana na soko,mtaji pia kwa kuanzia ni kama kiasi gani hiv.
  6. Dmuganyizi

    Nahitaji kufanya biashara ya vitenge

    Naomba ushauri juu ya kufanya biashara ya vitenge,nisaidieni tafadhali hasa kwa mtu ambaye yuko kwenye hii biashara.
Back
Top Bottom