Recent content by Dkt. Gwajima D

  1. Dkt. Gwajima D

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Huyu anayejiita "Russia wa Bongo" anafanya udhalilishaji kupitia mtandaoni. Mamlaka mchukulie hatua

    Nipo nipo, hata leo nimesalimiana na @mongi2026
  2. Dkt. Gwajima D

    JamiiForums Tanzania Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Shukrani, acha ije cha msingi kweli hutuweka huru mioyoni👋🙏🏽
  3. Dkt. Gwajima D

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Huyu anayejiita "Russia wa Bongo" anafanya udhalilishaji kupitia mtandaoni. Mamlaka mchukulie hatua

    Mimi sijambo, hofu na mashaka kwako uliye mbaaali sana rafiki 👋
  4. Dkt. Gwajima D

    JamiiForums Tanzania Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Aamin, hakika umesema. Tutaendelea kufanya kile chenye manufaa hata kama kitakataliwa, acha historia iseme🙏🏽
  5. Dkt. Gwajima D

    JamiiForums Tanzania Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Majibu kila mmoja huweza kupima kwa mtazamo wake na ndiyo maana, mtihani mmoja, mwalimu mmoja, majibu mbalimbali kwenye topiki moja na ufaulu mbalimbali pia.
  6. Dkt. Gwajima D

    JamiiForums Tanzania Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Ahsante kwa ushirikiano 👋
  7. Dkt. Gwajima D

    JamiiForums Tanzania Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Ahsante sana, nimekusoma vema, na Mimi nikabaki nashangaa tu wengine wakali kweli hadi unajiuliza, ukali wa Nini Sasa na vitani hawaendi wao? 😄😄😄
  8. Dkt. Gwajima D

    JamiiForums Tanzania Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Kesho nitumie ujumbe kwa whatsapp 0734124191 sema scott junior jf. Code check dm tafadhali
  9. Dkt. Gwajima D

    JamiiForums Tanzania Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    😅 Halafu Sasa ukiiona ndiyo roho yako inalala kwaaatu, haya usiku mwema
  10. Dkt. Gwajima D

    JamiiForums Tanzania Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Hiyo finishing umenifanya nicheke kwa sauti haloo😂, hii kazi haihitaji nguvu na hasira, penye kucheka tucheke
  11. Dkt. Gwajima D

    JamiiForums Tanzania Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Sasa kwa Nini wananipenda lakini? Waambie waache tu jamani😀
  12. Dkt. Gwajima D

    JamiiForums Tanzania Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Haya basi mshindi wewe, pokea tuzo ya ushindi. Acha basi niendelee na mengine na wewe na mengine kisha muda utakuja uamue. Eti si ndiyo uungwana huo? Heri ya miaka mipya ijayo🤗
  13. Dkt. Gwajima D

    JamiiForums Tanzania Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Sasa kwa kuwa watu mbalimbali huelewa with time, tuupe muda nafasi, tusiulazimishe. Nakutakia kila la heri.
  14. Dkt. Gwajima D

    JamiiForums Tanzania Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Hakika, Hilo halipo, ama kufika huko au kurudi hai. Community empowerment ndiyo uwanja wa vita. ✍🏻
  15. Dkt. Gwajima D

    JamiiForums Tanzania Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Kwa mujibu wa Kifungu cha 154 cha Sheria ya Kanuni za Adhabu, Sura ya 16 ya Sheria za Tanzania; vitendo vya mapenzi ya jinsia moja au mahusiano kinyume na maumbile, iwe kwa faragha au kwa makubaliano ni kosa la jinai. Mengine kasome tafadhali, maana ndiyo nasema, shida yetu ni community...
Back
Top Bottom