Samahani, kwa nini? Sema mimi nataka tu kujua kama ni jambo linalo wezekana kutoka kwa wana jamiiforum. Sema ushauri wako pia nita ufanyia kazi ila kwa sasa naomba mawazo kutoka humu.
Habari wana jamii forum, zao la korosho nimeona likilimwa sana pwani sasa nimekua nikijiuliza hivi je kuna uwezekano wa kulima hili zao la korosho katika ukanda wa ziwa (ziwa viktoria, Mwanza? Naombeni msaada wenu.
Ni kweli mkubwa nimejiunga siku nyingi nikiwa bado nipo sekondari, shinda sikua active tu ila kwa sasa na imani tutaonana sana humu ndani ya jamiiforum.
Asante kwa ushauri mzuri ndugu, ila ni nafaka ipi au zipi unazoona kwa kuanza nazo hazina shida na zina weza kuleta faida ya kutosha nikiwa na maana soko la uhakika na bei nzuri.
Sijawahi kufanya hii shughuli hii itakua mara yangu ya kwanza ila na imani naweza, katika swala la soko bado nafanya uchunguzi ila kwa mtazamo wa haraka naona soko lipo, nyumbani ni Dar ila kwa sasa nipo Mwanza ndio nimemaliza chuo mwaka huu na naona Mwanza ni mji unao kua so nataka shughuli...
Kweli mkubwa kama na wewe unaona huo ni mwanzo mzuri basi acha nipambane, maana nia kuu ya huu uzi wangu ni kupata mtazamo wa watu wengine juu ya mwanzo mzuri..shukrani sana
Nina ndoto za kua mjasiriamali mkubwa, wazo kuu linalo nijia kichwani ni kuanza kua na eneo la kujitosheleza ambalo nitahitaji mtaji mdogo tu wa kuanzia ambao mpango wa kwanza niku uwekeza katika ufugaji wa kuku na nguruwe.
Mategemeo yangu niku zalisha pesa zaidi kutokana na huo ufugaji ambapo...
Nimependa sana jinsi ulivyo weza kufafanua kuhusu ufugaji wa kuku, ila mimi bado nahitaji maelezo ya kiundani zaidi juu ya ufugaji wa hao kuku wa kisasa {nyama}, maana ndo kwanza nataka nianze na idadi ya kuku mia mbili, ila chakushangaza nimepiga hesabu ila naona hailipi hata kidogo, labda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.