Ukitaka duka nenda kwa Mwanasheria wa Jiji akupe maelekezo kuhusu Utaratibu siyo kupotosha umma kwa kiandika uongo na kusingizia watu uongo kabisa.
Jifunze kutoa taarifa za ukweli na Kama utaona Mwanasheria wa Jiji hatokupa majibu sahihi unaweza kumwona Mkurugenzi wa Jiji La sivyo unaweza...
huna taarifa ya uhakika huna haja ya kuleta uharo wako hapa wewe unaetumika kama toilet paper.
kwa taarifa yako hai CCM haina candidate WA kupambana NA mbowe the same ARUSHA mjini hakuna kiraka atakae uhimili moto WA jembe LEMA
nilikuwa nawaambia Kila Mara LEMA ni mbunge WA tofauti sanaa nikaona hamuamini ilaa naamini LEMA ni mbunge bora zaidi Africa mashariki NA kati NA amekua mbunge ambae amefanya vizuri zaidi kipindi hiki cha 2010 hadi 2015 hii ni ukichukua kwa majimbo yote ya Tanzania barA amekua ni mbunge WA...
ujajipotezea muda Ndugu yangu Arusha sisi ni Lema hatuta muacha kwani hakutuacha tangu Mwaka 2005 tumekuwa nae tutaendelea kuwa nae hatutamuacha hata ukipandikiza chuki miyoyoni mwetu sisi tumeshaamua tutakwenda nae.
mpango wako umefeli
yaani hao dawa yao ni bis bis ya mbavuni inazama mpaka ikute bandama ili wasizoee... Kuna mmoja kama mmasai katoboa masikio huyo ninahasira nae sana Kuna siku alinijibu hovyo sana huyo siku anapita kwenye 18 zangu yaani kisu cha takoni kitamuhusu pumbavu... yaani mijamaa ni mibishii... Sheria...
Mawazo ni mengi kwa kweli. Itafika siku tutaanza kujitoa muhanga tumalizane humu nchini.
Hizi ndizo nyakati unaona aibu kuwa Mtanzania Unapomtoa kafara prof Tibaijuka aliyekutana na hela njiani na unamuacha aliyetengeneza dili mpaka hela ikatoka BOT hata ikaingia mtaani Prof Muongo ni kiini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.