Mzeeeee pambania hzi Kwanza hzo za TPDF kutoboa huwa nadra Sana Kama upo mtaaani pia zinakuaga na connection nyingi mno tofaut na hzo za Mambo ya ndani
Mkeka wa uhamiaji tayari hahahahahah na wao walifunga deadline kabla ya magereza AF nmegundua Hawa wanaotuzuga kua wamepigiwa cm wanatuchanganya mbona mkeka unawekwa hadharani tu hakuna Cha simu Wala nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.