Recent content by Dirham

  1. Dirham

    Nahitaji msaada wenu

    Nilikuwa nafanya kazi private school na hatua za kuachishwa kazi zilifuata ndio
  2. Dirham

    Nahitaji msaada wenu

    Muda unazidi kwenda saa sita hii na mpaka sasa sijafanikiwa kupata chochote. Mimi na mama yao tunaweza vumilia huku nikipambana ila kwa watoto ni mateso makubwa sana, nimetoka nyumbani hakuna kitu chochote yaani pako empty. Eeeh Mungu tenda miujiza yako nipate riziki nipate nguvu ya kuendelea...
  3. Dirham

    Nahitaji msaada wenu

    Private mkuu.
  4. Dirham

    Nahitaji msaada wenu

    Shukran mkuu
  5. Dirham

    Nahitaji msaada wenu

    kama zipi mkuu unaweza kuwa umeziona ambazo mimi sijaziona mkuu. Unaweza pia kunisaidia mawazo nikaichangamkia fursa
  6. Dirham

    Nahitaji msaada wenu

    Wilaya ya muheza tarafa ya kigombe mkuu
  7. Dirham

    Nahitaji msaada wenu

    Nafight sana though sometimes mambo yanakuwa hayaendi kama hivi kichwa knapata moto mkuu wanangu bado wadogo. Can you imagine bro mpak kula inakuwa mtihani. Mpaka nafikia hatua ya kuanzisha uzi ili nipate msaada. Nafight mkuu. Shukran sana
  8. Dirham

    Nahitaji msaada wenu

    Mkuu maisha popote na mwanaume ni kupambana bado sijakata tamaa mkuu nitakutafuta mkuu ili niipate hiyo connection. Wacha kwa leo mkuu nipambanie ugali wa watoto mkuu. Shukran sana
  9. Dirham

    Nahitaji msaada wenu

    Ni kweli mkuu tuyapitiayo ni mengi na kila mtu anapitia katika hali tofauti
  10. Dirham

    Nahitaji msaada wenu

    sina ujuzi wa kuendesha pikipiki mkuu na kusema ukweli sikulifikiria hili. Shukran kwa wazo mkuu
  11. Dirham

    Nahitaji msaada wenu

    Mkuu haina haja ya kusema samahani nashukuru kwa hili pia nilishafanya tuition japo haikiwa na mafanikio, mazingira niliyopo muamko wa elimu ni mdogo sana nilipata watoto watatu ambao nilikuwa ninawafundisha na ukizingatia masomo niliyochukuwa si yenye uhitaji sana wa tuition kwa ngazi ya o level.
  12. Dirham

    Nahitaji msaada wenu

    mkuu natumia free basics. Hiyo pesa ya kununu MB ingetosha zaidi kuwaachia nyumbani wakapata hata maandazi asubuhi ikapita tukajuwa ya mchana mkuu.
  13. Dirham

    Nahitaji msaada wenu

    Mpaka nimefikia hatua hii ya kuandika uzi huu ni kwamba nimekwama sina jinsi siwezi kukopa kwani sina uhakika wa kulipa pesa nahitaji wanangu na mama yao wapate kula. Kazi kupata ni ngumu na vibarua vimekuwa mtihani. Kwa atakaewsza nisaidia naomba tuwasiliane Pm. I really need your help.
  14. Dirham

    Nahitaji msaada wenu

    Nina bachelor of arts with education mkuu
  15. Dirham

    Nahitaji msaada wenu

    Bado nipo tanga mkuu. Nina Bachelor of Arts with Education
Back
Top Bottom