Habari Mkuu,
Aisee, hongera kwa andiko lako makini lenye tija kwenye jamii.
Kura yangu umepata.
Naomba kura yako kwenye andiko langu linaloonyesha mikakati ya kufanya kutatua changamoto zilizoorodheshwa kwenye ripoti ya CAG. SoC03 - Tujibu Ripoti ya C.A.G
Ripoti ya mwaka ya Mthibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya Tanzania kwa mwaka wa fedha 2021/22, ilibainisha mapungufu mbalimbali katika nyanja tofauti za uendeshaji wa Serikali. Hii ni ishara tosha kuwa, kuna haja ya kutafuta njia mbadala na makini za kutatua changamoto hizo ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.