Nachoka kabisa tz sasa ni dhairi sio swali tena huwezi kurinda madaraka kwa kuua ni kujitia nuksi tu, maana madaraka yatalindwa kwa kufanya hadara na utu kwa kila mwenye haki aipate unaua raia sa itaongoza kina nani? inataka utawale kaburi na damu za watu je ukifa nawe unadhani utakuwa salama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.