Samahanini ndugu zangu mimi ni kijana wa miaka 26 naitwa dioniz (champion) naombeni msaada wa karo maana maisha yangu ni magumu ikiwezekana mnipigie sm au ujumbe mfupi hata kujiunga na chama nitakuwa tayari ili mradi maisha yangu yawe mazuri.natanguliza shukurani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.