Recent content by dilungathegreat

  1. dilungathegreat

    JamiiForums Tanzania SOFTWARE DukaPoint: Imerahisisha utunzaji na upatikanaji wa kumbukumbu za biashara yako(mauzo, manunuzi, matumizi, stock n.k)

    Kuna msemo wa Kiswahili usemao: "mali bila daftari, hupotea bila habari." Mfanyabiashara makini hufahamu hili na ndio maana haachi kutunza kumbukumbu za biashara yake. Utunzaji wa taarifa za mauzo, manunuzi, matumizi, na stoku ni muhimu kwa ukuaji wa biashara, kwani itakusaidia kufahamu...
  2. dilungathegreat

    JamiiForums Tanzania Biashara 5 unazoweza kufanya ukiwa na mtaji mdogo

    Chief shukurani sana kwa ideas nzuri . It takes an optimistic mind to see the glass is half full and not half empty! Hakuna anayekosea hapo kati ya anayeona glass ya maji ipo nusu kujaa na anayeona ipo nusu kuwa tupu ila namna ya kuona ni tofauti(mtazamo)! .Na mtazamo ndicho kinachoathiri...
Back
Top Bottom