Recent content by Dijovisonjn

  1. D

    Rais Samia: Ua zuri liliochipua katikati ya ziwa Victoria

    Katika kina cha Ziwa Victoria ziwa kubwa kabisa barani Afrika, lenye mawimbi yasiyotulia na upepo wa ghafula ni nadra kuona ua likimea katikati ya maji, likadumu, na zaidi likachanua kwa uzuri wa ajabu. Hilo ndilo fumbo la uumbaji, na huo ndio mfano halisi wa Rais Samia Suluhu Hassan ua zuri...
  2. D

    Rais Samia na Mei Mosi

    Unataka nikujibu?!
  3. D

    Rais Samia na Mei Mosi

    Nimelipwa hayo niliyoyasema hapo!!
  4. D

    Rais Samia na Mei Mosi

    Utangulizi Mei Mosi ni siku ya kimataifa ya wafanyakazi, inayotumika kutambua, kusherehekea, na kuangazia mchango muhimu wa wafanyakazi katika maendeleo ya taifa. Katika Tanzania, siku hii huadhimishwa kwa hamasa kubwa, huku serikali na vyama vya wafanyakazi wakitumia fursa hiyo kuzungumzia...
  5. D

    Wataalam nisaidieni: Umeme wa three phase vs umeme wa single phase

    Je, kuna athari yoyote kufunga umeme wa three phase kwenye nyumba yenye vifaa vya single phase pekee?
  6. D

    Wataalam nisaidieni: Umeme wa three phase vs umeme wa single phase

    Ahsante sana. Kwa hiyo nini tofauti sasa ya kufunga three phase au single phase kwa matumizi ya vifaa hvyo?!
  7. D

    Wataalam nisaidieni: Umeme wa three phase vs umeme wa single phase

    JPM ndiye anayetupa jeuri ya kuuliza maswali kama haya.
  8. D

    Wataalam nisaidieni: Umeme wa three phase vs umeme wa single phase

    Toka zamani tumekuwa tukiona umeme wa majumbani ukifungwa single phase na viwandani ukifungwa wa three phase. Lakini siku hizi hata majumbani watu wanafunga umeme wa three phase tofauti na zamani. Naomba kufahamu tofauti ya matumizi ya huu nyumbani, na umeme wa three phase unaongeza nini katika...
  9. D

    Ikulu, Dar: Rais Magufuli afanya Uteuzi wa Mkuu wa Wilaya, ateua Wakurugenzi na kuhamisha wengine

    Hahahahahahaha!! Kumbe ndugu yangu una chuki binafsi na Dc wa Iramba so ulikuwa unajificha katika kichaka cha sare za Mwenge wa Uhuru. Kwa taarifa yako, na kwa kukupa pole, Mhe. Rais hafanyi uteuzi au mabadiliko kwa sababu wewe au fukan ana mchukia Dc, Rais ana vigezo vyake na kigezo kikuu ni...
  10. D

    Hili la DC Iramba kufanya biashara ya vitambaa vya mashati ya Mwenge na kuwalizimisha watumishi wanunue, Nendeni ofisini kwake mkashuhudie.

    Karibu saaana na nitatamani niwe mwenyeji wako. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. D

    Hili la DC Iramba kufanya biashara ya vitambaa vya mashati ya Mwenge na kuwalizimisha watumishi wanunue, Nendeni ofisini kwake mkashuhudie.

    Hii barabara hata kuwepo haikuwepo Serikali imeitengeneza ni barabara mpya kabisaaaa ambayo inawasaidia wananchi wa Makunda kufika barabara kuu ya Singida Mwanza kwa urahisi zaid bila kuzunguza. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom