😁😁😁😁 huo muda wa police kufanya hivyo umeisha, na ukishaona hawa wameingilia jambo ujue kazi ipo. Uzuri walitoa tangazo na siku za kufata maelkezo. Kama ulikaza shingo acha livunjike sasa. Vaa wakukute ili ujue wanaweza kukamata au watakwambia usubiri police waje kukukamata 🤣🤣🤣🤣
Ujumbe kutoka kwa kati ya mwanafunzi aliyehitimu na kuomba kupaziwa sauti.
"Mimi ni muhitimu wa stashahada ya computer science chuo kikuu cha sayansi na teknolojia Mbeyaa
Kumekuwa na tatizo la mfumo yaani SIMS (student information management system) kwa muda wa takribani wiki 3 mpaka sasa...
Naona wafanye tu maana walitoa onyo na walitoa siku za kurudisha, kama mtu alikaza shingo basi acha livunjike kwa sasa.
Sheria ya ulinzi wa taifa imeeleza hapo sio kwamba wamejitunzia, sasa acha sheria ifate mkondo wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.