Le Mutuz sikutarajia kuwa utakuwa na uelewa finyu kiasi hicho; alichosema jaji Warioba, ni watu wajadili rasimu iliyotolewa na tume na si wajumbe wake! Sasa kwa uelewa wako; ni bunge lipi la katiba lililojadili rasimu na ilitolewa na tume ipi? Hivi mpaka leo huwezi kutofautisha kati ya rasimu ya...
Nikiwa mmoja wa wanatabora, mzaliwa wa Mtawa wa Market kata ya Gongoni, na ambaye pia nilisoma Town School PR, na ambaye kwa sasa nipo Dar kwa utafutaji, naamini uzinduzi Huo utaizika rasmi CCM Tabora na utavunja record za kanda Zorro zilizokwisha zinduliwa. Niwatake wakazi wote wa mji wa Tabora...
Ok unaweza kuwasiliana engineer huyu; JUMA KAMBAJECK, kampuni yake ni class five both Building & Civil. Emai: jkambajeck@gmail.com, simu :+255713508100
Habari Taifa stars, CHADEMA imeishika pabaya CCM kupitia operetion yake safisha Kinondoni baada ya mkutano mkuu wa jimbo, mbele ya katibu mkuu ndg Dr. Slaa kuuondoa uongozi wa awali na k uweka kikosi cha mauaji kwa CCM.
Viva CHADEMA, Viva M4C
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.