Recent content by Didybabuuh

  1. D

    Lead Generator Barclays kuna matumaini au tuangalie usawa mwingine

    Ndugu yangu usidharau kazi, kazi mbaya ukiwa nayo kama huna shughuli utaiona.
  2. D

    Lead Generator Barclays kuna matumaini au tuangalie usawa mwingine

    msiogope vijana nimefwatilia leo lead generator bado hawajaitwa Training so tuendelee kusuburia though to be honest inachosha balaa
  3. D

    Lead Generator Barclays kuna matumaini au tuangalie usawa mwingine

    Nashukuru ndugu yangu kwa taarifa maana kukaa kimya hv mtu unashindwa kuelewa hope watatuita kweli by nxtweek kitaa kinachosha jaman though post hii ya kaz watu wanaiponda sana lakin mm bora kazi bwana
  4. D

    Lead Generator Barclays kuna matumaini au tuangalie usawa mwingine

    Wadau wenzangu wa lead generator kuna aliyetafutwa mpk leo hii? Au kazi hazipo tena
  5. D

    Lead generator barclays kimyaa....

    jaman kwa tulioambiwa tupeleke vyeti na vtu pale barclays then tusubir kuitwa vipi mbn kimya...mwenye news yoyote tujulishane.. VP kaka wameshakuatafuta hawa watu?
  6. D

    Lead generator barclays kimyaa....

    yan ww acha tu ndugu yangu sijui kuna nn huko maana mm mwenyewe kuna ndugu yangu alipeleka akaambiwa watampigia mpk leo kimya sijui kuna nn kitaa kigumu jaman
  7. D

    Tuliopata barclays bank lead generator

    vp ndugu yangu tycooffn wamekupigia hawa watu?
  8. D

    Tuliopata barclays bank lead generator

    Na hao ambao wamepiwa teyar nao wameshaanza au?
  9. D

    Tuliopata barclays bank lead generator

    Mmh hizo taarifa umezipata wapi ww? Mbona mm niliambiwa ni mwez huu trh 10?
  10. D

    Tuliopata barclays bank lead generator

    mm nilifanya siku ya j3 interview sikumbuki trh vzr but 2 weeks zimepita ni nilipeleka passport na barua siku ya j5 yake mmh tusubiri tu watatupigia ww ulifanya siku gani kwani?
  11. D

    Tuliopata barclays bank lead generator

    nashukuru sana kwa taarifa ndugu yangu ntakutafuta hivi ni za mkoa au hapahapa?
  12. D

    Tuliopata barclays bank lead generator

    guys tujaribuni kua serious na watu wazima mtuakipost kitu msilete utani sana kama huna information nacho jst be kimya thanx.
  13. D

    Tuliopata barclays bank lead generator

    Jaman naomba kuuliza wale tuliopata Barclays bank tukaambiwa tutapigiwa simu siku ya kuanza kazi vp kuna mtu ameshapigiwa teyari? au mwenye taarifa yeyoto plz inform
Back
Top Bottom