Affiliate Marketing ni kazi yaku-promote bidhaa mtandaoni inayotengenezwa au kumilikiwa na mtu mwingine kwa makubaliano yakulipwa commission katika faida inayopatikana, percentage ya faida inajulikana kabla haujaanza kupromote hiyo bidhaa.
Je, ni changamoto zipi au vikwazo ulivyokutana navyo wakati unataka kuanza Affiliate Marketing?
Nakaribisha wadau mchangie mada.
N.B: Mimi pia nitachangia vikwazo na changamoto nilizokumbana nazo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.