Kuna changamoto ya taarifa zinazotoka RITA baada ya uhakiki zinakuwa hazileti majina yote kwenye mfumo wa bodi ya Mkopo HESLB. Ukifika kwenye Demographic info huwezi kuendelea mbele, hii changamoto nimeshakutana nayo kwa zaidi ya watu watatu. Mwenye Solution tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.