Mbunge wa Kawe Halima Mdee amekanusha taarifa za Uzushi kwamba ana mpango wa kujiunga ACT na kusema yeye ni Chadema damu damu.
Vilevile Shibuda nae amekanusha taarifa za Uzushi kwamba anataka kuhamia ACT na kusema ni Uzushi, hana mpango huo.
Matamko hayo yametolewa Bungeni katika kipindi cha...
SHERIA YA MIAMALA YA KIELOTRONIKI
MAKOSA YA KIMTANDAO
Wadau
Hii sheria nzuri kama itakuwa ni kwa Maslahi ya Taifa na sio kwa Maslahi ya Kisiasa.
Serikali yangu sikivu, naomba ianze kuwashughulikia haraka sana hao wahalifu bila ubaguzi, na kwa maoni yangu, waanze na yule aliyesambaza...
Akaunti yng ya Facebook imekuwa Disabled. Ina maana siwezi kufungua mpaka nifuate maelekezo yao ya Security Identification. Nikifika sehemu ya kutambua picha na jina lake huyo mtu, nashindwa kwasababu marafiki wengi siwakumbuki. Ni wale uki-Post kitu kizuri, wana - request.
Nisaidieni nifanyeje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.