Kama umeajiliwa au umejiajiri fanya haya
Tunza asilimia kadhaa za mshahara wako. Cut off chai ya asubuh kwa mama ntilie. Jion wai nyumbani upike
Pesa hapo utaweza tunza then jifunze biashara yyte iliyopo kwenye mazingira yanayokuzunguka au biashara ya Boss wako apo anza taratbu the same...
Kama ubahiri ukifanywa kwa tija basi matokeo yake yatakuwa chanya na yenye manufaa.
Hatua kumi [10] za kutumia ubahili positively;
1. Chemsha maji ya kunywa nyumbani.
2. Usinywe soda, nunua blender tengeneza juisi yako mwenyewe, afya na pesa zako utasave za kunywa soda ovyo ovyo.
3. Usinunue...
Kwanza kabisa kuna tabia nzuri na mbaya
Tabia nzuri nzuri matokeo yake ni sasa na tabia mbaya matokeo yake ni baadae kwa mfano kama unavuta sigara au ni mlevi kupindukia matokeo yake utayapa baadae kama figo au ini kufeli
Ushauri wangu kwa vijana tufanye tabia nzuri Na nidhamu kwenye kutunza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.