Wewe unasoma sehemu chache sana za habari za dunia. Ungesoma mambo aliyoandika Donald Trump kuhusu viongozi wa Afrika , wafanyavyo na mitizamo yao, na haja ya kuurejesha ukoloni Afrika kwa miaka 100 mingine , hungeandika kama hivi.
Meneja wa TANESCO eneo la Himo, ni lini atapeleka umeme katika eneo la Makuyuni-Msufini. eneo hili kwa upande wa kusini kuna umeme umeishia kwenye nyumba ya mtumishi wa TANESCO na kuna mpango wa kuweka umeme eneo la Barabara ya mwika na hoteli ya Shayo advocate.
Kwa maana hiyo, eneo la Morrum...
Amtume Waziri Mkuu aangalie usambazaji wa umeme Vunjo, unafanywa kwa utashi wa watumishi wa Tanesco, na kupatiwa huduma ya umeme sharti ujizatiti kweli kweli.
Baraza dogo la watu wenye elimu, utashi na weledi litamsaidia president kuleta maendeleo ya haraka yaliyokwamishwa kwa kuteuliwa watu wasio na ubunifu katika utendaji. Ubarikiwe Rais JPM
Watanzania msijiingize kwenye ujinga, haki haiwezi kupotea na sasa haki imetendeka. Ponteos Pilato alimwuliza Yesu Kristo kuhusu ukweli, BWANA YESU akamjibu kwamba amekuja kuidhihirisha hiyo kweli na YEYE ndiye hiyo kweli. Sasa kama Pilato hakuelewa ni shauri yake. Praise to GOD the Almighty!
Jamani hata mambo yasiyokuwa na kichwa wala miguu mnaandamana, leteni hoja zenye mashiko.
Go to college and read about Causality, that is the relationship between CAUSE AND EFFECT.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.