Watanzania apambane ni na Hali zenu. Mlizaa wenyewe starehe zenu. Magu kaza wanyooshe hu hu hu Mtaisoma namba. Tumeipenda wenyewe ngwangwa , Chaguo letu wenyewe ngwangwa, wacha tuisome Namba eeeh , wajinga wale CCM mbele Kwa mbele eeeeeeeeeeeeeeeeeeee. CCM raha
Safi sana Naibu Waziri. Mitanzania ilikuwa inaimba itaisoma namba sijui ilikuwa haielewi? . Shikilia hapo hapo hadi Mitanzania ikome kuimba Bila kuelewa maana ya wimbo.
Zitto Kabwe unatimiza wajibu wako kwa kuibua hoja na kuchochea mijadala yenye afya kwa Taifa Bungeni na uraiani ( Kwa mitandao na matamko). Hali kadhalika Ado Shaibu unafanya vizuri.
Kila CCM na mtukufu wao wanapofanya ndivyo sivyo mnacounteract kwa muda sahihi.
Namuunga mkono Evaristi...
Waswahili husema mtu huvuna alichopanda. Kwa mtazamo wangu mpaka Sasa Lowassa hajapanda chochote kuelekea uchaguzi wa 2020. Hapaswi kusogelea fomu ya kuomba Kugombea maana atakuwa anavuna walichopanda wengine.
Ni mtazamo tu masela msijenge chuki.
Asilimia kubwa ya Watanzania tuko wajinga, wacha maCCM yatuumize mpaka tuisome namba. Tena Mimi naapa namsaidia mama yangu mzazi, wengine sisaidii ng'o. Mitanzania mijinga sana
Msalimie mkulu kulu , mwambie akupandishe akupe uwaziri kamili angalau ufaidi zaidi mema ya nchi. Hawa wapinzani wameingiza nchi katika mikataba ya ajabu , siwapendi kabsa. CCM mbele Kwa mbele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.