Zitto Kabwe unatimiza wajibu wako kwa kuibua hoja na kuchochea mijadala yenye afya kwa Taifa Bungeni na uraiani ( Kwa mitandao na matamko). Hali kadhalika Ado Shaibu unafanya vizuri.
Kila CCM na mtukufu wao wanapofanya ndivyo sivyo mnacounteract kwa muda sahihi.
Namuunga mkono Evaristi Chahali kwa kusema ukweli kuwa mmekuwa Bora.
CHADEMA mnahitaji kuenda kwa mwendo huu hata wakati huu mnapomsubiri jemedari Lissu. CCM wanatakiwa kujibiwa promptly. Zitto umeonyesha njia.
Angalizo: Zitto CCM sio watu wazuri usirudie makosa ya kuchangamana nao.
Kila CCM na mtukufu wao wanapofanya ndivyo sivyo mnacounteract kwa muda sahihi.
Namuunga mkono Evaristi Chahali kwa kusema ukweli kuwa mmekuwa Bora.
CHADEMA mnahitaji kuenda kwa mwendo huu hata wakati huu mnapomsubiri jemedari Lissu. CCM wanatakiwa kujibiwa promptly. Zitto umeonyesha njia.
Angalizo: Zitto CCM sio watu wazuri usirudie makosa ya kuchangamana nao.