AZIMIO LA BARAZA KUU LA UONGOZI LA TAIFA KUHUSU TANGAZO LA MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR LA KUITISHA UCHAGUZI WA MARUDIO ZANZIBAR
Baraza Kuu la Uongozi la Taifa la THE CIVIC UNITED FRONT (CUF – Chama Cha Wananchi), likiwa ndiyo chombo cha juu cha maamuzi katika Chama baada ya...
Kama unakumbuka mauaji ya Januari 26/27 mwaka 2001 yalipata baraka zake yeye na ni yeye ndie ambae anahofia kurudiwa na sheria za jinai iwapo upinzani utaongoza serikali hapa Zanzibar.
Fikra ya leo kwa kifupi:
Kwanza: Jana kulizagaa taarifa za Maalim kumuandikia barua Pope Francis ili aingilie kati kutafuta suluhisho la uhuni uliofanyika Oktoba 28 na kuitia Zanzibar katika mkwamo wa kisiasa na kiuchumi.
Kinachozungumzwa sana na wasiojielewa ni kunasabisha udini na utamaduni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.