Habari kwamba CCM wanapanga kumbomoa Mbowe zinaweza kuwa za kweli. Lakini pamoja na kwamba watatumia mbinu inayodaiwa ilitumika kummaliza Sumaye, bado mimi naona iko ya pili na ambayo ni yenye ufanisi zaidi.
Na mimi naona kwamba CCM wamekwishaanza kumbomoa Mbowe, na upinzani kwa ujumla, kwa...