Inaonekana hata kusoma na kuelewa hujui kabisa
Mimi (YOHANA)nawabatiza Kwa MAJI ila ajaye nyuma Yangu (YESU)Ana NGUVU kuliko mimi
Yeye (YESU)atawabatiza Kwa ROHO MTAKATIFU na KWA MOTO
NB.Rudi darasani kajifunze kiswahili upya ndugu inaonekana huna maarifa kabisa na MUNGU WETU MKUU anasema watu...
Ni kweli
Ni kwelijumamosi ni siku ya Saba,lakini Sasa yesu mwenyewe amesema tukeshe tukiomba maana hatujui siku Wala saa.
Swali: tunakesha siku ipi hapo?
(Najua utasema sabato)
Yohan a amebatizwa akiwa tumboni Kwa roho mtakatifu,u abatizo was roho mtakatifu hauna umri brother,
Alafu kingine abatizo alioustahili yesu si was maji,ila ule kufa na kufufuka ,soma vzr utanishukuru
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.