kuondoka kwa lowassa kumewazuzua wengi, kwani ndo imekuwa habari kuu. Miaka yote hii ccm walikubali kuishi na harufu ya kinyesi. nafikiri hiyo harufu ilikuwa pafyumu kwao ndo mana hawakujua kama ni harufu mbaya. bacteria wanapoamua kukiozesha kinyesi unalalamika. hiyo ni balaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.