Recent content by desire more

  1. desire more

    Nataka kwenda kuoa Zanzibar

    Utajuta kivipi fafanua
  2. desire more

    Nataka kwenda kuoa Zanzibar

    Hii umeongeza chumvi hakuna kitu Kama hicho
  3. desire more

    Nataka kwenda kuoa Zanzibar

    Zulu man kama Zulu man[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  4. desire more

    Nataka kwenda kuoa Zanzibar

    Kwa hilo sijui lakini ukibahatika bado wapo wengi tu uombe Sana dua
  5. desire more

    Nataka kwenda kuoa Zanzibar

    Sure bado wazanzibari wanadumisha Mila na tamaduni zao kwa asilimia kubwa, kama anaweza kupata mke wa kiislamu nje ya muongozo niliompa Mimi basi kutakuwa na walakini ama kwa huyo mwanamke au familia yake, haitokuwa rahisi kama unavyofikiria, huku watu wamelelewa bwana discipline iko juu Sana...
  6. desire more

    Nataka kwenda kuoa Zanzibar

    Sio kivile usiwachukulie poa, huku watoto wa kike hawana papara la kuolewa kwa sababu wanaume wengi wao huoa mke zaidi yammoja, so ukitafuta mke wazazi huchunguza Sana hasa ukitoka nje ya Zanzibar
  7. desire more

    Nataka kwenda kuoa Zanzibar

    Bosi wangu naona unazunguka saana lakini nikupe hints tu kuhusu wazanzibari, Mimi mwenyewe ni mzanzibari na naishi huku, naeafahamu wazanzibari in and out, kuhusu kuoa mwanamke wa kizanzibari muislamu wakati wewe sio muislamu hiyo ni ngumu Sana, ninachokushsuri kwanza kabla hujaja huku badili...
  8. desire more

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Kamata fursa twenzetu[emoji23][emoji23][emoji23]
  9. desire more

    Hiki kitendo cha wadada kutoka na kanga kwenda kuoga kiukweli kinatutesa sana sisi wanaume

    usikute mwenzio ana kibamia ndio lawama zote hizo[emoji2356][emoji2356][emoji2356][emoji2297]
  10. desire more

    Nampenda sana ila kwa hili naombeni maoni

    [emoji179][emoji179][emoji179][emoji177][emoji177][emoji177]
  11. desire more

    Sababu za kufichwa kwa kitabu cha Enoch

    KIVIPI [emoji2297][emoji2369]
  12. desire more

    Kadili unavyo mshobokea ndio unazidi kujipa ugumu wa kupata

    [emoji471][emoji471][emoji471][emoji123]
  13. desire more

    Je, alichofanya ni sahihi kuondoka na mtoto bila kuniambia?

    I don't know your background but you two have big problems you need to sit out and solve them as early as possible or else [emoji848]BOOM[emoji102][emoji2296][emoji3516]
  14. desire more

    Je, alichofanya ni sahihi kuondoka na mtoto bila kuniambia?

    Me nadhani tatizo lilianzia hapo wakati umempatia ukawa unarudi kumchukua na kumrejeshea, huenda kukawa na sababu, and hapo, ikiwa wewe unakaa nae miezi 6 hata mwaka bila bubdha yoyote, iweje wiki kadhaa tu au mwezi huwezi kumuachia kukaanae, huo ni unafsi, ulipaswa umuachie akae nae akimaliza...
Back
Top Bottom