Nasikia maumivu kama yale ya kukata upande wa kulia wa wa juu karibia na mbavu
Najisikia tumbo kufura
Nikila kidogo najisikia tumbo kujaa
Choo napata vizuri
Inaweza kuwa shida gani?
Inasemekana kuwa maeneo deep ya ujaluoni kuna uchawi ulio kithiri sana.
Inasemekana hata maendeleo yamedumaa maana anaeunuka anadondoshwa in no time.
Je hii ndio inaweza kuwa sababu kuu ya vijana hawa kutorudi vijijini?
Kuna watu ambao ndimi zao ni kama za nyoka
Mioyo yao imekunjamana
Macho yao yamejaa moto
Vidole vyao vya ku-type vina upanga
Kauli zao ni za kukatisha tamaa
Lugha yao ni matusi.
Nini ni sababu ya haya yote ambapo unakuta mtu robo tatu ya siku yake anachagua kuwa hivi utafikiri ametumwa na...
OBSESSION ni hali ya akili ambapo wazo, mtu, au kitu hudhibiti kabisa mawazo yako. Unafikiria juu yake wakati wote, na huwezi kuacha, hata unapotaka kufanya mambo mengine.
Ukute bodaboda driver hiyo tukutuku ni yake hana self contrrol ya tamaa za kimwili na uaminifu + ustaarabu kupeeleka atengeneze uteja wa kudumu, aisee wanapiga na ni watu wanaofanya maendeleo bila kelele.
Ninaongea kutokana experience yangu juu hawa watu na connection ya nilio nayo na wao...
Mdada wa kisomalia mjihad na ana support vikundi ya kigaidi
Jamaa wa kiarabu, mkomonisti anaepinga marekani na kumsifia china
Mwingine huyo kutoka asia, ana support ushoga wa kuvuka mipaka na kuruhusu wanaume trans kuingilia michezo ya wasichna pure
US is cooked, soon magharibi wataona moto...
Mohamed Said Unatamani sana nchi hii ingekuwa chini ya caliphate, sasa kwa kuwa misingi ya dini katika siasa iliminywa na sera za nyeerere ili isipelekee taifa kugawanyika kidini na kugeuka kuwa lebanon sasa inapelekea kukuumiza sana kwa kudanganya watu kuwa TANU na nyerere waliua historia na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.