Recent content by Design Your Idea

  1. Design Your Idea

    JamiiForums Tanzania Nipe sababu ya msingi kuu ya kupinga kauli ya kuwa sisi waafrika nchi zetu sio "SHITHOLE COUNTRIES"

  2. Design Your Idea

    JamiiForums Tanzania Msaada tafadhari juu ya tumbo langu

    Nasikia maumivu kama yale ya kukata upande wa kulia wa wa juu karibia na mbavu Najisikia tumbo kufura Nikila kidogo najisikia tumbo kujaa Choo napata vizuri Inaweza kuwa shida gani?
  3. Design Your Idea

    JamiiForums Tanzania Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    Je mtu anazaliwa akiwa na hurka hii au hujitengenezea katika malezi au ni balaa laana ambayo imepoint familia fulani? Karibuni
  4. Design Your Idea

    JamiiForums Tanzania Kwanini vijana wa kijaluo ni wazito wa kurudi vijijini ilipo asili yao na hata kama wakirudi wanaenda kwa kujificha jificha?

    Inasemekana kuwa maeneo deep ya ujaluoni kuna uchawi ulio kithiri sana. Inasemekana hata maendeleo yamedumaa maana anaeunuka anadondoshwa in no time. Je hii ndio inaweza kuwa sababu kuu ya vijana hawa kutorudi vijijini?
  5. Design Your Idea

    JamiiForums Tanzania Nini kinamfanya mtu muda wake mwingi anakuwa TOXIC sana kwa watu?

    Kuna watu ambao ndimi zao ni kama za nyoka Mioyo yao imekunjamana Macho yao yamejaa moto Vidole vyao vya ku-type vina upanga Kauli zao ni za kukatisha tamaa Lugha yao ni matusi. Nini ni sababu ya haya yote ambapo unakuta mtu robo tatu ya siku yake anachagua kuwa hivi utafikiri ametumwa na...
  6. Design Your Idea

    JamiiForums Tanzania Ni obsession gani uliyonayo na inakusumbua sana, hauwezi ondoka akilinu labda uitulize kwa muda tu.

    OBSESSION ni hali ya akili ambapo wazo, mtu, au kitu hudhibiti kabisa mawazo yako. Unafikiria juu yake wakati wote, na huwezi kuacha, hata unapotaka kufanya mambo mengine.
  7. Design Your Idea

    JamiiForums Tanzania Hakuna kikundi kinachopiga hela za kutosha kama bodaboda, ni basi tu wengi wao ni vijana wadogo wanaondekeza starehe

    Ukute bodaboda driver hiyo tukutuku ni yake hana self contrrol ya tamaa za kimwili na uaminifu + ustaarabu kupeeleka atengeneze uteja wa kudumu, aisee wanapiga na ni watu wanaofanya maendeleo bila kelele. Ninaongea kutokana experience yangu juu hawa watu na connection ya nilio nayo na wao...
  8. Design Your Idea

    JamiiForums Tanzania Hii ndio sura mpya ya chama cha democrat huko marekani

    Wazawa wamefanyiwa revolution katika chama hiki , misingi ya kimarekani imepigwa chini mkuu. Chama kilichobakia cha US pure ni republican
  9. Design Your Idea

    JamiiForums Tanzania Hii ndio sura mpya ya chama cha democrat huko marekani

    Mdada wa kisomalia mjihad na ana support vikundi ya kigaidi Jamaa wa kiarabu, mkomonisti anaepinga marekani na kumsifia china Mwingine huyo kutoka asia, ana support ushoga wa kuvuka mipaka na kuruhusu wanaume trans kuingilia michezo ya wasichna pure US is cooked, soon magharibi wataona moto...
  10. Design Your Idea

    JamiiForums Tanzania Mzee Said, unaforce kutengeneza tatizo ambao halipo. Tz ilijijenga katika misingi ya kuheshimiana dini zetu. Wewe ni udini ndio unakusumbua.

    Mohamed Said Unatamani sana nchi hii ingekuwa chini ya caliphate, sasa kwa kuwa misingi ya dini katika siasa iliminywa na sera za nyeerere ili isipelekee taifa kugawanyika kidini na kugeuka kuwa lebanon sasa inapelekea kukuumiza sana kwa kudanganya watu kuwa TANU na nyerere waliua historia na...
  11. Design Your Idea

    JamiiForums Tanzania Kama unataka kumfanyia mtu mabaya, ebu jaribu kuwazia familia na wategemezi wake.

    Mnanyima ndoto na uhai kwa wengine kupelekea mifadhaiko kwa wanae huku nyie mkirudi nyumbani mkiwakombatia watoto wenu kwa furaha na bashasha
  12. Design Your Idea

    JamiiForums Tanzania Siku ukikuta watoto wa nje na mama zao wamekuja kwenye msiba wa baba fukara ili kujitambulisha na kumsitiri basi ndio itakuwa mwisho wa dunia

    Hakika Misiba yote ya matajiri lazima unakuta vijqna fulani wanatia tia huruma kwa ndugu ili waingizwe kwenye keki ya taifa
Back
Top Bottom