Watu matapeli na wanatumia majima ya watu kwa mfano kuna wanaojiita community loan wanapost kwa kutumia jina la mh.Halima James Mdee na namba za simu waliweka ya mh ila ukicheki jina limeandikwa Halima James tu.hivyo vyombo vya mawasiliano mtu anaposajili kweli huwa mnaangalia vitambulisho...
Samahani wanajamii mwenye mawasiliano na mh Halima Mdee atujulishe kama ni yeye anapost kwenye wall yake ya fb kuhusu mikopo ya Community loan au ni mtu anatumia jina lake watanzamia wenye vipato vidogo na maisha magumu tusije kuumia tunaomba utuhakikishie
Mwenye kujua habari kuhusu community loan atujuze tusije kutapeliwa maana naona inapostiwa na wall ya Halima Mdee mara kwa mara akitusii tujiunge ili kujikomboa na mikopo yenye riba nafuu na maswali tunayouliza hatujibu he kweli ni Halima Mdee ndo ana post au ni mtu anatumia jina lake Mhe...
Me sitasahau nilikopa platnum credit milion moja na laki tatu salary slip kuja nadaiwa mil 3 na laki sita nilisota nalo afu wajanja wanataka ulipe kwa mda mrefu ili wakumalize vizuri lakini nilijitahidi nikalipa kwa mkupuo ikapungua kama laki sita kwa hy wakala faida kama mil 2 na
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.