Recent content by Desert

  1. D

    Hali ya Kiafya ya Seif Shariff Hamad

    Wanene wakiugua wanakwenda India, S. Africa, Ulaya na kwingineko ali mradi kuwe nje ya nchi hii. Sisi wanyonge tukienda kwa babu Loliondo wanaanza kuleta mizengwe na kukataza watu wasiende huko eti kwasababu dawa zake hazina uhakika wa viwango vya ubora. Hivi wanataka sisi tufe ili wao waendelee...
  2. D

    Kiini macho cha Kamati ya January Makamba na Dowans

    Tukumbuke kwamba mara kadhaa watanzania tumekuwa tukitishiwa nyau na tunatishika kweli. Kuna kipindi aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO, Dr. Idrisa Rashid aliwatishia watanzania kuwa taifa likiingia gizani asilaumiwe. Na hiyo ilikuwa baada ya jitihada za kutaka kununua mitambo ya Dowans...
Back
Top Bottom